Download Free Apps & Games @ PHONEKY.com
Subject: Mchongoano
Replies: 29 Views: 9917
panchy 12.09.08 - 10:31am
Shosho yako ni mshanba alienda kuby balgum.akapewa ya grin lakini akarudisha akidai anataka yenye imeiva *
123kevo 25.12.08 - 07:59am
Shosho ni mzee hadi akikunyua fanta an*lewa.. *
123kevo 25.12.08 - 08:03am
Shosho yako ni mzee naskia alizaliwa rainbow ikiwa black n white.. *
panchy 25.12.08 - 08:16am
Shosho yako ni mze hadi matiti zake zinajiandika 'no milk' *
panchy 25.12.08 - 08:19am
Wewe ni mrefu hadi ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo maziwa mala *
123kevo 25.12.08 - 09:30am
Manzi yako ni mkonda badala ya kutumia always(pads) ye hutumia elastoplast *
123kevo 25.12.08 - 01:46pm
We ni mjinga hadi naskia uli repeat baby care.. *
123kevo 25.12.08 - 01:51pm
Nyumba yenyu ni ndogo hadi inakubidi utoke inje indio uweze kuchange mind.. *
123kevo 25.12.08 - 01:54pm
Ati we ni mweusi hadi ukipigwa photo inadai scratch 2 reveal.. *
panchy 25.12.08 - 06:38pm
Manzi yako ni mnono hadi akivaa belt ya yellow,wasee hudhani ni matatu *
panchy 25.12.08 - 07:03pm
Wewe ni mweusi hadi mosquito ikitaka kukuuma inakumulika na torch *
panchy 25.12.08 - 07:08pm
Nyinyi wengi hadi mna roundabout na traffic lights kucontrol trafic flow kwa nyumba *
panchy 25.12.08 - 07:13pm
Nyinyi ni wengi mkitaka kupika chapo nyimyi hupika moja halafu mnatoa photocopy kadha *
123kevo 26.12.08 - 01:40pm
Nyumba yenu ni refu hadi ikona ma hawkers kwa koridos *
panchy 26.12.08 - 03:31pm
Nyumba yenu ni kubwa hadi nyinyi hutumia bodaboda kuchange rooms *
01kevo 26.12.08 - 08:34pm
Kwenyu mumezaliwa wengi mbaka last born wenyu anaitwa 'tosha' *
anto20 26.12.08 - 11:57pm
Dame yako ni mskinny hadi ukimmanga unapata blisters kwa di*k *
tipis 27.12.08 - 04:26pm
We ni mkonde mpaka unanuka damu.. We ni mjinga mpaka unafail blood test.. *
zackey 28.12.08 - 07:21am
We ni mweusi mpaka ukimbeba mtoto mchana an*lala akifikiria ni usiku *
lilzi 28.12.08 - 04:12pm
Ati wewe ni giza sana ukisimama kwa wall wasee wanadhani ni space ya mlango *
panchy 28.12.08 - 09:12pm
Wewe ni mkonde hadi ukilean kwa wall watu wanathani ni crack *
wampapa 29.12.08 - 08:25pm
We ni thwack hadi ulienda kwa zoo chimp ikakupatia banana *
d.south 31.12.08 - 10:12am
Wewe ni mjinga mpaka unaandika zero upside down. *
anto20 7.01.09 - 10:28pm
Kwenu mumeendelea mpaka mko na stove ya motorola *
asnie 2.03.09 - 08:31am
Manzi yako ni mshot hadi wee humpiga munju kama lolipop. *
muokis 13.05.09 - 07:46pm
Nyinyi ni gamu hadi mkivamiwa na wagondi mnadial *130*999 *
alekii 25.06.09 - 01:55am
hey guys join ma group 4 more than 120 mchongoanos.anywe ati we ni mjinga mpaka unapelekwa boarding sunday school *
boyz3 26.05.11 - 06:26pm
eti we ni mkode hadi ukipigwa picha inahata *
ayieeya 9.07.11 - 08:51am
Kevo manzi yako ana tumbo kubwa hadi akitaka kutema mate anatumia straw. *
wamuthee 1.08.11 - 06:55am
Wewe ni tall hadi una season migration ya minyoo *